Ezekiel 47:21-22

21 a“Mtagawanya nchi hii miongoni mwenu kufuatana na makabila ya Israeli. 22 bMtaigawanya kuwa urithi kwa ajili yenu na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwenu na ambao wana watoto. Wao watakuwa kwenu kama wenyeji wazawa wa Israeli, pamoja na ninyi watagawiwa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.
Copyright information for SwhKC